Maonesho ya michezo ya kuigiza
Mwanafamilia George akiwa anaendesha kipindi cha bangua bongo na wanasemina
Picha ya pamoja kwa wanachuo wa VETA na Tumaini Iringa
Dada Wahida wa Tumaini Iringa akiendesha somo
Kaka Mayala akiwa anafafanua jambo
Hongereni wote mlioshiriki katika mafunzo hayo
Jumla ya wanchuo 51 walipata mafunzo kutoka VETA Iringa na Tumaini Iringa, Mafunzo yaliandaliwa na Wizara ya Elimu na mafunzo ya UFUNDI kwa ufadhiri wa UNESCO. UMATI walitoa wakufunzi Mahili Brother Stephen Chimile na Mwanafamilia George M. John
Big up
No comments:
Post a Comment