April 21, 2010

WANAFAMILIA WANAOKADIRIWA KUZIDI 100 wapata KIPAIMARA PAROKIA YA MAKUBURI DSM.....

Picha ya pamoja baada ya kupatiwa sakramenti takatifu ya Kipaimara


Mwanafamilia aliyemsimamia kijana Joseph
Hii picha ilipigwa ndani ya kanisa kushoto mama mlezi Mama Kadala, Baba Mzazi Baba Joseph na vijana wake Joseph, Josephina na mdogo Jonson, na Mwanafamilia Muta
Wakiwa katika pozi mwanana

Kula, kunywa na kuselebuka kuliendelea nyumbani.......... 

No comments: