July 02, 2010

WOZA 2010 Robo fainali kivumbi kutimka


Je Ghana wataendelea kuwafurahisha waafrika? Brazil watapiga samba la kutosha kwa Uholanzi? haya na mengine ndiyo maswali yanasubiri majibu kuanzia leo 2.Julai 2010 
Mungu ibariki Ghana,
Mungu Ibariki Afrika 
Mungu wabariki waandaaji na washangiliaji
AMINA 

No comments: