June 22, 2010

WAZAZI HII NIKWA AJILI YA WATOTO WENU

















Aunty sadaka pichani




LIKIZO NA MAFANIKIO!

Kwa vijana wa umri wa miaka 13-19

Ni mpango wa vijana kuwa pamoja na wanasaikolojia, washauri, madaktari na wataalam kujadili masuala ya kila siku ya maisha na ufanisi wake tarehe 5-10 July 2010, kuanzia saa 3.00 asubuhi hadi 10.30 jioni, Oysterbay Shule ya Msingi



MATARAJIO:

Mafunzo kuhusu umuhimu na thamani ya maisha, staha, mahusiano binafsi na jamii

Kujua staili na namna ya kujisomea ili kuelewa na kufikia malengo ya juu kwenye maisha ya shule

Maisha na matarajio katika ulimwengu wa kazi baada ya shule, ili kupata ufahamu wa kazi gani ya kufanya baada ya masomo kulingana na hulka, upenzi na utendaji

Vivutio mbalimbali vya michezo, filamu za mafunzo

Utatuaji wa matatizo na kutoa maamuzi



Nasaha binafsi na vikundi:

Kuingia kwa undani kupata ufumbuzi wa mashaka na matatizo binafsi yanayowakabili shuleni, nyumbani na kwenye jamii kwa ujumla.



Watakutana na:



Dr. Ally kaduma na Dr. Isaack Maro Modesta Mahiga (Professional Approach) Emelda Mwamanga Sadaka Gandi Waalimu mahiri wa masomo mbalimbali



Malipo ni 50,000 kwa wiki yote kwa ajili ya mafunzo na chakula cha mchana.

Kwa maelezo zaidi piga simu

0767 787882 or mshauri1@yahoo.com au fika

Ofisi zetu zilizopo Kinondoni S&F Building ghorofa ya pili au

Oysterbay primary School



Haya ni mafunzo maalum kwa ajili ya watoto wenu,Ameandaa A unty Sadaka ambae mnamsikia mara kibao kila jumanne katika mambo leo ya leo tena

Kwa hisan ya http://www.dinamarios.blogspot.com/

No comments: