Maandalizi ya vitaru vya miti ya matunda
Kijana Yomba Yomba akiwa katika ukaguzi wa kisima cha kuhifadhia maji ya kumwagilia miti
Vijana wanaosimamia umwagiliaji na upaliliaji wa miti wakiwa kazini
Jamani jamami upandaji na usimamiaji wa miti si kazi lelemama wadau wakiwa wanapata maelekezo kutoka kwa mratibu Bw Philimon Mabuga juu ya usimamiaji na umwagiliaji bora.
Kisima kikiwa katika hatua za mwisho tayari kwa matumizai
No comments:
Post a Comment